» » SHERIA NA NEEMA


Na, Ev. Zachary John Bequeker |Mwanza
Sheria na neema ni vitu viwili tofauti kabisa na wala haviwezi kuchangamana. Ni kama mafuta na maji ambao huwezi kuyachanganya.
Watu waliochini ya sheria wanachanganya sheria na neema wakikana kwamba wokovu haupatikani kwa neema, wanadhani kwamba kuokoka kunatokana matendo ya sheria.
Wagalatia 2:21 "Siibatili neema ya Mungu; maana, ikiwa haki hupatikana kwa njia ya sheria, basi Kristo alikufa bure."
Waefeso 2:8-9 "Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu;"
HITIMISHO: Tumeokolewa kwa neema wala si kwa atendo yetu hivyo hakuna haja ya mtu kujisifu kwa wokovu alionao. Ili kuondoa mkanganyiko tafuta somo liitwalo TUKIOKOKA TUKO MBALI NA DHAMBI, kwa kufuata link hapa chini.
.....................................................................
Je, unataka kuokoka?
Tuma neno "NATAKA KUOKOKA" kwa SMS au WhatsApp kwa +255625966236
KWA MAFUNDISHO TEMBELEA;
Facebook: Injili Halisi Ministry
🔗zakachekainjili.blogspot.com
💕 Sharing is Caring💓

Pakua App Ya Injili Halisi -Bofya Hapa Flower
HII NI INJILI HALISI MINISTRY, KWA MAWASILIANO +255 621 261 295

About INJILI HALISI MINISTRY

Zachary, most known as Zakacheka is the founder of the Injili Halisi Ministry. He is a member of Full Gospel Bible Fellowship Church.. He lives in Mwanza,Tanzania. 0621261295.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply